KWASASA UNAWEZA KUPATA ZILE STORI TAMU ZA MAPENZI KWENYE APP YETU MPYA UNAWEZA UKAIPAKUA SASA BONYEZA HAPA INAITWA KIJIWE CHA MAPENZI TWENDE HUKO KUNA STORI KIBAO
Tuesday, October 29, 2019
Saturday, July 20, 2019
MAMBO MANNE YA KUFANYA BAADA YA KUMALIZA KUFANYA TENDO LA NDOA
Labda kwa wale wasiofahamu niwaambie tu kwamba dhana ya mapenzi ni dhana yenye wigo mpana sana na ndiyo maana hutasikia hata siku moja tumepumzika kuizungumzia. Hata hivyo, tunachofanya siku zote ni kukumbushana kwa yale tunayoyafahamu na kushauriana kwa pale tunapohisi wengi hufanya makosa. Baada ya kusema hayo sasa nigeukie mada yangu ya leo ambayo kwa kiasi kikubwa inawahusu wale walio kwenye ndoa na kikubwa nazungumzia yale ambayo wawili waliotokea kupendana kwa dhati wanatakiwa kuyafanya mara baada ya kumaliza kufanya tendo la ndoa. Nalazimika kuandika makala haya baada ya kubaini kuwa wengi wamekuwa wakifanya makosa na kujikuta wakishamaliza kufanya tendo hilo takatifu, kila mmoja anageukie kwake kisha kuuchapa usingizi.Sisemi kwamba ni lazima kuyafanya haya nitakayoyaeleza leo ila yakifanywa huwa na manufaa yake na mara nyingi yanaboresha uhusiano. Kuoga pamoja
Mtakuwa ni watu wa ajabu kama mtamaliza kufanya tendo hilo kisha kila mmoja kulala na majasho yake. Wapo wasiojali katika hili na kuona kuoga au kutooga ni uamuzi wa mtu. Elewa linapokuja suala la usafi inashauriwa mkimaliza lazima muoge.Wapo wanawake ambao wakishamaliza hukimbilia kuwaandalia maji wenza wao, wakishaoga ndipo nawo huenda kuoga. Hivi unaona ugumu gani kwenda kuoga na mwenza wako? Unaijua raha ya kuoga na huyo wako wa maisha?
Wanaofanya hivyo wanajua raha yake na wewe ambaye hujawahi, anza leo. Mmemaliza mambo yenu, chukuaneni kimahaba, elekeeni bafuni kisha ogeshaneni kimahaba.
Baada ya hapo rudini chumbani, mkishajifuta maji pandeni kitandani mkiwa wapesi. Kusifiana
Hakuna muda maalum uliotengwa kwa ajili ya wanandoa kusifiana. Hilo linaweza kufanyika wakati wowote lakini pale mnapomaliza kufanya tendo la ndoa ni lazima utakuwa na jambo zuri la kumuambia mwenza wako.
Msifie kwa utundu na ubunifu wake. Msifie pia kwa mapenzi matamu anayokupa na ikibidi mpe sifa ya uzuri wake kiasi cha kukufanya kila unapokuwa karibu yake ujisikie amani ya kupitiliza. Wapo ambao hawana kabisa kasumba ya kuwasifia wala kuwashukuru wenza wao kwa mazuri wanayofanyiwa. Yaani wao wanachukulia kila kitu poa tu bila kujali kwamba kusifiana kunanogesha mambo. Kuelekezana
Kwenye kale kamchezo, wapo ambao wanakosea, kuelekezana na kukosoana kwa wapenzi ni jambo la kawaida. Yawezekana mwenza wako alifanya kitu ambacho hakikukufurahisha wakati mkiendelea na burudani yenu, mnapomaliza mwambie lakini kwa lugha ya kimahaba na ya upole. Naamini kwa kufanya hivyo atakuelewa na kubadilika. Zungumzieni maisha
Huu ni wakati muafaka wa kujadili changamoto na malengo katika maisha yenu. Hapa akili zinakuwa zimetulia na kila mmoja anakuwa na mawazo chanya kwa mwenza wake. Jadilini mambo yenu, wekeni mikakati ya kuliboresha penzi na maisha yenu kwa ujumla. Hayo ni baadhi ya mambo ambayo mnashauriwa kuyafanya pale mnapomaliza kufanya tendo la ndoa. Yapo mnayotakiwa kuyaepuka ili kutotibua furaha iliyopatikana. Hayo nitakuja kuyaeleza katika makala zinazokuja kupitia ukurasa huu.
Mtakuwa ni watu wa ajabu kama mtamaliza kufanya tendo hilo kisha kila mmoja kulala na majasho yake. Wapo wasiojali katika hili na kuona kuoga au kutooga ni uamuzi wa mtu. Elewa linapokuja suala la usafi inashauriwa mkimaliza lazima muoge.Wapo wanawake ambao wakishamaliza hukimbilia kuwaandalia maji wenza wao, wakishaoga ndipo nawo huenda kuoga. Hivi unaona ugumu gani kwenda kuoga na mwenza wako? Unaijua raha ya kuoga na huyo wako wa maisha?
Wanaofanya hivyo wanajua raha yake na wewe ambaye hujawahi, anza leo. Mmemaliza mambo yenu, chukuaneni kimahaba, elekeeni bafuni kisha ogeshaneni kimahaba.
Baada ya hapo rudini chumbani, mkishajifuta maji pandeni kitandani mkiwa wapesi. Kusifiana
Hakuna muda maalum uliotengwa kwa ajili ya wanandoa kusifiana. Hilo linaweza kufanyika wakati wowote lakini pale mnapomaliza kufanya tendo la ndoa ni lazima utakuwa na jambo zuri la kumuambia mwenza wako.
Msifie kwa utundu na ubunifu wake. Msifie pia kwa mapenzi matamu anayokupa na ikibidi mpe sifa ya uzuri wake kiasi cha kukufanya kila unapokuwa karibu yake ujisikie amani ya kupitiliza. Wapo ambao hawana kabisa kasumba ya kuwasifia wala kuwashukuru wenza wao kwa mazuri wanayofanyiwa. Yaani wao wanachukulia kila kitu poa tu bila kujali kwamba kusifiana kunanogesha mambo. Kuelekezana
Kwenye kale kamchezo, wapo ambao wanakosea, kuelekezana na kukosoana kwa wapenzi ni jambo la kawaida. Yawezekana mwenza wako alifanya kitu ambacho hakikukufurahisha wakati mkiendelea na burudani yenu, mnapomaliza mwambie lakini kwa lugha ya kimahaba na ya upole. Naamini kwa kufanya hivyo atakuelewa na kubadilika. Zungumzieni maisha
Huu ni wakati muafaka wa kujadili changamoto na malengo katika maisha yenu. Hapa akili zinakuwa zimetulia na kila mmoja anakuwa na mawazo chanya kwa mwenza wake. Jadilini mambo yenu, wekeni mikakati ya kuliboresha penzi na maisha yenu kwa ujumla. Hayo ni baadhi ya mambo ambayo mnashauriwa kuyafanya pale mnapomaliza kufanya tendo la ndoa. Yapo mnayotakiwa kuyaepuka ili kutotibua furaha iliyopatikana. Hayo nitakuja kuyaeleza katika makala zinazokuja kupitia ukurasa huu.
Friday, December 21, 2018
Natumaini muwazima bukheri wa afya na mnaendelea vyema na mishemishe zenu za kimaisha kama kawaida. Mimi namshukuru Mungu niko poa tayari kuwaletea mada ambayo nimewaandalia kwa wiki hii.Leo nimeona nikuletee njia kumi ambazo unaweza kuzitumia katika kukabiliana na wivu uliopitiliza ili uweze kudumu na huyo uliye naye.
1. Jiulize ni kwa nini una wivu
Sababu ya wewe kuwa na wivu inaweza kutokana na kitu kilichowahi kukupata hapo nyuma. Inawezekana uliwahi kuwa na uhusiano ukavunjika sasa unaogopa na huo usivunjike kwa kuchukulia poa kila unachokiona kwa mpenzi wako. Hiyo inaweza kukusababisha ukawa na wivu.
Mara nyingi kama mtu aliwahi kuwa na mpenzi ambaye alikuwa akimsaliti huharibu ubongo wake na kukaa na wasiwasi wakati wote kwa mpenzi anayeingia naye tena katika uhusiano.
Cha kufanya hapa ni kujitambua kwanza kisha ujifunze jinsi ya kukabiliana na wivu ulionao.
Kuna watu wengi ambao wana wivu lakini utawajua kwa matendo tu hasa wanapokuwa na wapenzi wao.
2. Usimhisi mpenzi wako
Kama utakaa chini na kuhisi kuwa mpenzi wako ana jambo analifanya nyuma ya pazia, utakuwa umepungukiwa na uaminifu.
Je, kuna kitu kibaya aliwahi kukufanyia kikakufanya ukose uaminifu kwake?
Kama ubongo wako uko sawa hauwezi kukufanya wewe ukawa na wasiwasi wakati wote.
3. Muulize maswali unapojisikia
Ni sahihi kumuuliza maswali mpenzi wako ili mradi uhakikishe hayatamtibua na kusababisha ugomvi.
Hii itasaidia kuwaunganisha lakini jaribu kuuliza katika hali ya upole na ikiwezekana kwa lugha ya kimahaba.
Kama utakuwa na wasiwasi jaribu kumuuliza maswali machache ambayo una wasiwasi nayo.
Usiwe ni mtu wa kupaniki wakati wote.
4. Usifananishe kila kitu
Hupaswi kufananisha kila kilichotokea kwako au kwa mtu mwingine, wala usifananishe jambo alilolifanya mpenzi wako wa sasa na kile alichokufanyia yule wa zamani.
Kila mtu ana hulka zake na tofauti yake. Usiruhusu kuwa na woga kwamba patina wako anaweza kupata mtu mwingine wa kukuzidi wewe wala usifananishe kipato na muonekano wa mtu mwingine unayehisi anaweza kumchukua mpenzi wako.
Ukithubutu kuruhusu hali hiyo, huwezi kukabiliana na wivu.
Kumbuka kuwa dunia imeumbwa na watu tofauti tofauti kama tutaishi kwa hisia kuwa fulani ana kipato anaweza kumchukua mpenzi wangu, basi dunia itakuwa si sehemu ya kuishi.
5. Wasiliana naye mara kwa mara
Mawasiliano ni njia nzuri ya kuukabili wivu. Tumia muda mwingi kujadiliana na mpenzi wako ni kwa nini una wivu wa kupindukia. Kwa kufanya hivi unaweza kupunguza uzito wa tatizo la wivu.
Watu wengi wamefanikiwa kuficha wivu wao kwa kutumia njia hii na kama hutamweleza mpenzi wako jinsi unavyohisi wivu hatoweza kukusaidia.
Wengi wao hushindwa kuvumilia pale wanapowaona wapenzi wao wamekaa na mtu wa jinsi nyingine mapozi tata lakini kama utamueleza ni rahisi kukusaidia kwa kujirekebisha au kukufanya uzoee.
Ongea na mpenzi wako sana, gombana naye kidogo, hali hii itakwisha taratibu.
6. Kuwa na ujasiri/ jiamini
Wivu unaweza kuongezeka kama utakuwa hujiamini. Unahisi hujiamini? Unahisi mpenzi wako anaweza kukuacha? Kama maswali yote hayo yako kichwani kwako, unatakiwa kuyajibu na kuyafanyia kazi.
Kama mpenzi wako atakuwa ni mtu wa kujichanganya na watu mbalimbali hii haimaanishi kuwa atakuacha au hakupendi, jiamini na ujipe moyo wewe ndiyo chaguo lake.
Kumbuka kuwa kuna sababu ya yeye kukuchagua wewe na kuwaacha hao waliomzunguka.
7.Chukulia wivu ni adui yako
Ni sawa bila wivu kabisa uhusiano wenu utakuwa na matatizo lakini ukiona sasa unavuka mipaka ni vyema ukauchukulia kama adui wa penzi lenu.
Mpenzi wako atakasirika kuona unamuonea wivu hata katika yale usiyostahili kumuonea wivu, ataona unamboa na kuhisi huenda siyo mtu sahihi kwake. Uko tayari mpenzi wako ajisikie hivyo?
Kama hauko tayari basi wakati mwingine uchukie wivu, uchukulie ni adui anayeweza kukufanya ukamkosa huyo mpenzi wako uliyempenda. Ukifanya hivyo taratibu utapunguza na kuwa na wivu wa wastani unaoweza kuliboresha penzi lenu.
8. Jenga uaminifu kwake
Ni kweli wivu kwa namna moja ama nyingine kunaufanya uhusiano wako uwe imara lakini sasa unaweza kuuimarisha uhusiano wako kwa kujijengea mazingira ya kumuamini mpenzi wako.
Endapo utajenga mazingira hayo ya kumuanimi utashangaa hata kiwango cha kumuonea wivu kiasi cha kumfanya kuona ni kero kinapungua.
Amini kwamba hata akiwa mbali na wewe hawezi kufanya kitu tofauti kinachoweza kukukwaza. Na kama utashindwa kumuamini mpenzi wako basi unatakiwa kujiuliza kwa nini kwani lazima kutakuwa na tatizo.
9. Mpe nafasi ya kujiachia
Unapoingia kwenye uhusiano, wewe umekua na hata huyo mpenzi wako atakuwa ni mtu mzima. Itakuwa ni jambo la ajabu endapo utamzuia kujichanganya na wenzake kwa kuhisi anaweza kukuzunguka.
Kama umempenda basi huna haja ya kutumia nguvu nyingi kumchunga kwani kumchunga kwako kunaweza kumkera na kuhisi hayuko na mtu sahihi licha ya kwamba yawezekana unafanya hivyo kwa nia njema. Mpe uhuru wa kujichanganya.
10. Jifunze kutoka kwa wengine
Wakati mwingine yaweza kuwa rahisi kwako kujua kwamba unachokifanya ni sahihi au siyo sahihi kwa kuwaangalia wapenzi wengine. Je, wao wanaonesha wivu wao waziwazi au umeshawahi kumsikia mmoja wao akilalamika kukerwa na namna mwenzake anavyomuonea wivu mpaka inakuwa kero?
Kama hujawahi kwa nini usione kwamba una kila sababu ya ‘kuikontroo’ tabia yako ya kuwa na wivu kupindukia. Wivu sawa, lakini kupitiliza ndiko kusikotakiwa na endapo hutakuwa mwepesi wa kubadilika penzi lako linaweza kunyauka hivi hivi ukiwa unaliona.
1. Jiulize ni kwa nini una wivu
Sababu ya wewe kuwa na wivu inaweza kutokana na kitu kilichowahi kukupata hapo nyuma. Inawezekana uliwahi kuwa na uhusiano ukavunjika sasa unaogopa na huo usivunjike kwa kuchukulia poa kila unachokiona kwa mpenzi wako. Hiyo inaweza kukusababisha ukawa na wivu.
Mara nyingi kama mtu aliwahi kuwa na mpenzi ambaye alikuwa akimsaliti huharibu ubongo wake na kukaa na wasiwasi wakati wote kwa mpenzi anayeingia naye tena katika uhusiano.
Cha kufanya hapa ni kujitambua kwanza kisha ujifunze jinsi ya kukabiliana na wivu ulionao.
Kuna watu wengi ambao wana wivu lakini utawajua kwa matendo tu hasa wanapokuwa na wapenzi wao.
2. Usimhisi mpenzi wako
Kama utakaa chini na kuhisi kuwa mpenzi wako ana jambo analifanya nyuma ya pazia, utakuwa umepungukiwa na uaminifu.
Je, kuna kitu kibaya aliwahi kukufanyia kikakufanya ukose uaminifu kwake?
Kama ubongo wako uko sawa hauwezi kukufanya wewe ukawa na wasiwasi wakati wote.
3. Muulize maswali unapojisikia
Ni sahihi kumuuliza maswali mpenzi wako ili mradi uhakikishe hayatamtibua na kusababisha ugomvi.
Hii itasaidia kuwaunganisha lakini jaribu kuuliza katika hali ya upole na ikiwezekana kwa lugha ya kimahaba.
Kama utakuwa na wasiwasi jaribu kumuuliza maswali machache ambayo una wasiwasi nayo.
Usiwe ni mtu wa kupaniki wakati wote.
4. Usifananishe kila kitu
Hupaswi kufananisha kila kilichotokea kwako au kwa mtu mwingine, wala usifananishe jambo alilolifanya mpenzi wako wa sasa na kile alichokufanyia yule wa zamani.
Kila mtu ana hulka zake na tofauti yake. Usiruhusu kuwa na woga kwamba patina wako anaweza kupata mtu mwingine wa kukuzidi wewe wala usifananishe kipato na muonekano wa mtu mwingine unayehisi anaweza kumchukua mpenzi wako.
Ukithubutu kuruhusu hali hiyo, huwezi kukabiliana na wivu.
Kumbuka kuwa dunia imeumbwa na watu tofauti tofauti kama tutaishi kwa hisia kuwa fulani ana kipato anaweza kumchukua mpenzi wangu, basi dunia itakuwa si sehemu ya kuishi.
5. Wasiliana naye mara kwa mara
Mawasiliano ni njia nzuri ya kuukabili wivu. Tumia muda mwingi kujadiliana na mpenzi wako ni kwa nini una wivu wa kupindukia. Kwa kufanya hivi unaweza kupunguza uzito wa tatizo la wivu.
Watu wengi wamefanikiwa kuficha wivu wao kwa kutumia njia hii na kama hutamweleza mpenzi wako jinsi unavyohisi wivu hatoweza kukusaidia.
Wengi wao hushindwa kuvumilia pale wanapowaona wapenzi wao wamekaa na mtu wa jinsi nyingine mapozi tata lakini kama utamueleza ni rahisi kukusaidia kwa kujirekebisha au kukufanya uzoee.
Ongea na mpenzi wako sana, gombana naye kidogo, hali hii itakwisha taratibu.
6. Kuwa na ujasiri/ jiamini
Wivu unaweza kuongezeka kama utakuwa hujiamini. Unahisi hujiamini? Unahisi mpenzi wako anaweza kukuacha? Kama maswali yote hayo yako kichwani kwako, unatakiwa kuyajibu na kuyafanyia kazi.
Kama mpenzi wako atakuwa ni mtu wa kujichanganya na watu mbalimbali hii haimaanishi kuwa atakuacha au hakupendi, jiamini na ujipe moyo wewe ndiyo chaguo lake.
Kumbuka kuwa kuna sababu ya yeye kukuchagua wewe na kuwaacha hao waliomzunguka.
7.Chukulia wivu ni adui yako
Ni sawa bila wivu kabisa uhusiano wenu utakuwa na matatizo lakini ukiona sasa unavuka mipaka ni vyema ukauchukulia kama adui wa penzi lenu.
Mpenzi wako atakasirika kuona unamuonea wivu hata katika yale usiyostahili kumuonea wivu, ataona unamboa na kuhisi huenda siyo mtu sahihi kwake. Uko tayari mpenzi wako ajisikie hivyo?
Kama hauko tayari basi wakati mwingine uchukie wivu, uchukulie ni adui anayeweza kukufanya ukamkosa huyo mpenzi wako uliyempenda. Ukifanya hivyo taratibu utapunguza na kuwa na wivu wa wastani unaoweza kuliboresha penzi lenu.
8. Jenga uaminifu kwake
Ni kweli wivu kwa namna moja ama nyingine kunaufanya uhusiano wako uwe imara lakini sasa unaweza kuuimarisha uhusiano wako kwa kujijengea mazingira ya kumuamini mpenzi wako.
Endapo utajenga mazingira hayo ya kumuanimi utashangaa hata kiwango cha kumuonea wivu kiasi cha kumfanya kuona ni kero kinapungua.
Amini kwamba hata akiwa mbali na wewe hawezi kufanya kitu tofauti kinachoweza kukukwaza. Na kama utashindwa kumuamini mpenzi wako basi unatakiwa kujiuliza kwa nini kwani lazima kutakuwa na tatizo.
9. Mpe nafasi ya kujiachia
Unapoingia kwenye uhusiano, wewe umekua na hata huyo mpenzi wako atakuwa ni mtu mzima. Itakuwa ni jambo la ajabu endapo utamzuia kujichanganya na wenzake kwa kuhisi anaweza kukuzunguka.
Kama umempenda basi huna haja ya kutumia nguvu nyingi kumchunga kwani kumchunga kwako kunaweza kumkera na kuhisi hayuko na mtu sahihi licha ya kwamba yawezekana unafanya hivyo kwa nia njema. Mpe uhuru wa kujichanganya.
10. Jifunze kutoka kwa wengine
Wakati mwingine yaweza kuwa rahisi kwako kujua kwamba unachokifanya ni sahihi au siyo sahihi kwa kuwaangalia wapenzi wengine. Je, wao wanaonesha wivu wao waziwazi au umeshawahi kumsikia mmoja wao akilalamika kukerwa na namna mwenzake anavyomuonea wivu mpaka inakuwa kero?
Kama hujawahi kwa nini usione kwamba una kila sababu ya ‘kuikontroo’ tabia yako ya kuwa na wivu kupindukia. Wivu sawa, lakini kupitiliza ndiko kusikotakiwa na endapo hutakuwa mwepesi wa kubadilika penzi lako linaweza kunyauka hivi hivi ukiwa unaliona.
Njia 31 ambazo zitamfanya msichana akupende zaidi na kufurahi

1. Mwambie yeye ni mzuri na sio uko sexy au hot
2. Mshike mkono wake kwa kuwa unampenda na sio unazingua
3. Mtumie sms nzuri ya kumwamsha asubuhi
4. Cheza nae michezo mingi na mfanye ashinde yeye
5. Mkumbatie mara kwa mara mgongoni kwa kumshtukiza
6. Usijirushe na x wako wakati yeye hayupo hayo sio mapenzi
7. Kama unaongea na binti mwingine mkiwa pamoja ukimaliza maongezi rudi na kumkisi mpenzi
8. Mtumie sms au kumpigia simu na kumwambia unampenda
9. Mtambulishe kwa marafiki na kuwaambia kuwa ni mpenzi wako
10. Penda kuzichezea nywele zake na kuzisifia
11. Jaribu kutoka nae hata kama atakataa
12. Onyesha kuumia ukigundua watu wanammezea mate
13. Mchekeshe kila mara kumfanya atabasamu
14. Mfanye alale mikononi/mapajani mwako akijisikia kulala
15. Kama amekuudhi wewe mkiss na kutomjibu vibaya
16. Onyesha hisia zako kwake
17. Kila mwanamke anahitaji zawadi tatu kutoka kwa mwanamme:(pafyumu,viwalo na mekapu seti)
18. Mjali kama unavyowajali marafiki zako
19. Mwangalie machoni mwake na onyesha kuvutiwa nae
20. Tumia muda mwingi weekend kuwa nae kwakuwa unampenda
21. Mkiss mvua ikiwa inanyesha bila kuwa na mwamvuli
22. Mkiss kuonyesha wampenda
23. Kama unasikiliza mziki mpe headphone ya pili nae asikilize
24. Ikumbuke birthday yake na kumpa zawadi hii inamaana kubwa kwake
25. Kila mara akikukosea jaribu kuonyesha haujaumia na unazidi kumpenda
26. Kila mara mpigie simu na kumwambia huta uumiza moyo wake na unamjali na unapenda kuisikia sauti yake
27. Mpe kila hitaji muhimu alitakalo
28. Onyesha kujali vitu vidogo afanyavyo kwani itampa imani zaidi
29. Usiwakumbatie mabinti wengine ukiwa nae
30. Ukiwa na muda jaribu kuwa nae jirani atakujali kwa hilo
31. Kama unamjali usimwambie ila onyesha kwa vitendo
MUHIMU KWA VIJANA WENZANGU.!
Wengi itakuwa bado miaka miwili, mitatu au minne kabla ya kutimiza miaka 30. Natambua kuwa kuna waliokwisha fikisha na kuna uwezekano kuna walio nyuma kidogo.
Kama katika umri tulionao sasa kuna mtu anakuambia wewe bado ni mdogo/mtoto, basi huyo mtu hakupendi na anakulemaza kiakili. Kua! Acha utoto! Mambo yafuatayo kwa vigezo vya kibinadamu mwenye akili timamu, mtu mwerevu lazima uwe ushayatimiza.
1) Kuweka misingi ya kifamilia:
Katika umri huo unatakiwa uwe umeoa, umechumbia au uko katika uhusiano wenye kueleweka unaelekea kwenye kujenga familia. Kama katika umri huu bado unabadilisha wanawake na kudandia vicheche, basi sahau kuwa na familia imara. Mambo yafuatayo yatakuwa yanakunyemelea;
– Kuoa/kuolewa msichana/mvulana mdogo sana ambaye atakuona unamzeesha
– Kuoa /kuolewa chapchap bila kuwaza
-Kuokoteza magonjwa ya hatari
– Kunogewa na usela na kusahau kuoa/kuolewa
2)Kujitegemea kiuchumi:
Hapa simaanishi kufanya kazi na kupata mshahara pekee, la hasha! Hapa nalenga wale watoto wa mama ambao pamoja na kuwa wana kazi na mishahara, bado wanalalama mishahara haitoshi na kukimbilia kuomba hela nyumbani wanapoishiwa mara kwa mara. Wale ambao bado wanakaa nyumbani hii inawahusu pia. Pia wale wanaotumia 100% ya mishahara kununua vitu vinavyoisha (consumption) wakingoja wapate hela nyingi au wazazi, ndugu na jamaa wawasaidie kwenye uwekezaji. Africa tunachelewa sana kwenye hii sector.
3) Kuwa na kitega uchumi:
Kama unadhani mshahara wako wa milioni kadhaa ni mwingi sana, ngoja augue mtu wa karibu au wewe mwenyewe halafu daktari akuambie mgonjwa wako/wewe ana/unatakiwa ape/upelekwe nje ya nchi kwa matibabu zaidi wakati huna bima ya afya inayolipia hilo ndo utajijua kama mshahara wako heshima yake inaishia samaki samaki au inavuka border. Kitega uchumi si lazima uwe na mkampuni mkubwa, la hasha! Ila uwe na kitu cha kueleweka na chenye malengo ya kukua kuwa kitu cha maana. Kwa wale wagumu kuelewa, UNATAKIWA UWE NA PATO LA PEMBENI NJE YA MSHAHARA.
4) Makazi:
Uwe hata na kiwanja hapo Bunju Arif! Huezi kunywa bia kila weekend halafu wenzio wakiongelea issues za nyumba/viwanja/mashamba yao unakimbilia kubadilisha mada (Eti Huyu LVG wamuondoe kabisa anaharibu timu). Kumbe unazuga kupotezea story za viwanja/nyumba.
5)Uwe na professional qualification
: ACCA,CPA,CFA,CSIA,CPB, LAW SCHOOL ETC wale wa procurement wana ya kwao n.k. Ikifika huu umri kama CPA imekataa, tafuta hata mitihani za marketing upige, CPA sio issue zako. Lazima uwe na defined career (Kama hukubahatika kwenda kidato kingi, uwe na namna ya halali na ya kudumu ya kukupatia kipato). Umri huu kama huna utaalam katika fani yako, jiandae kuwa frustrated ofisini. Madogo wanasoma jamaa angu! Halafu wako tayari kupewa salary ndogo wapige kazi kuliko wewe.. So take care!
6) Uwe ushaamua ka hicho kitambi unakiondoa au unakilea:
Hapa sichekeshi! Kitambi kina madhara mengi. Suruali haikai vizuri, UTAPIGIWA, Kisukari, pressure n.k. Ukikinyamazia muda huu jua kitakuwa kishakomaa na majukumu yatakuwa mlima. Ukikiachia kijiamulie, kitakuganda kama “roba ya mbao” till death does you apart! Kama unakipenda endelea nacho, kama hukipendi uwe ushaweka program ya kukiondoa.
7)Uwezo wa kusaidia wanaokutegemea:
Kama we ni wa kishua, hapa hapakuhusu. Wewe ambaye si wa kishua, wazazi walikuwa na mategemeo flani walipokuwa wanakusomesha. Kama umefika miaka 30 hujaanza kuyatimiza mategemeo yao bila sababu ya msingi, jua watakuwa washakata tamaa na wewe.
8) Uwe na busara.
Kuwa mtu wa kufikiri kabla ya kutenda. Tengeneza haiba nzuri na ya kuheshimika kwa wanaokuzunguka. Kama huna busara hadi umri huu basi we sahau suala la busara ukiwa hai.. Labda utakutana nayo akhera.!
9) Savings:
Hapa nimeweka kizungu kuonyesha msisitizo. Kila mtu ana kipato chake. Ila formula ni kwamba angalau uwe ushahifadhi fedha sawa na mishahara yako ya mwaka na nusu gross of Tax kwa kipindi hicho. Kwa wale wagumu kuelewa namaanisha Ukiacha kazi au kusimamishwa kazi, uwe na uwezo wa kukaa mwaka na nusu bila kuingiza kitu chochote lakini uendelee kuishi maisha yale yale.
10) Umjue Mungu:
Nimeliweka hili mwisho si kwamba ni la mwisho kwa umuhimu, La hasha! Ni ili ulikumbuke zaidi. Mjue Mungu, mpende na umuogope. Nenda ibadani, soma neno lake na umuombe. Uwe na desturi ya kusali nyumbani kwako angalau kila unapoamka na wakati wa kulala. Kama humuogopi Mungu katika umri huu, basi wewe kwenda Mbinguni ni ngumu kuliko ngamia kupenya tundu la sindani (hata kama ni masikini).
NIKWANINI WANAUME HUCHEAT/KUWA NA MWANAMKE MWINGINE LAKINI HAWAKAMATWI
Wao hawatumii simu kuwasiliana
Msingi mkubwa wa wanaume wa aina hii wanatunza siri kuhusu wao wenyewe na familia zao, kazi zao hata majina yao wakati mwingine
HAWATUMII SABABU YA KUWA KAZINI
Mara nyingi mtu anaye cheat hutumia style moja ya kuwa kazi zinamfanya kuwa busy kumbe anatumia muda na hawala yake, hivyo basi wadanganyifu wa kiwango cha juu hawatumii sababu ya kuwa kazini kwani wanajua akianza kushtukiwa jambo la kwanza ni kuangalia muda anaotumia kazini.
HUHAKIKISHA MKE ANA FURAHA MARA ZOTE
Kwa kuwa atafanya kila njia kuhakikisha mwanamke anakuwa na furaha, hii ina maana kwamba mwanamke mwenyewe atajisahau na kujiona kuna amani kumbe ndani yake kuna udanganyifu mkubwa. Anaweza kukupa zawadi kila mara hasa akisafiri, anafanya kila kitu kuonesha anakujali kumbe anakuzunguka na inakuwa ngumu sana mwanamke kujua kwa sababu kila kitu anachohitaji anapata.
HAWATUMII SIMU
Wanaume wa aina hii si kawaida yao kuwapa mawahala namba za simu za mkononi, nyumbani au kazini. Wanajua kupitia simu za mkononi text message tu inaweza kuharibu mambo, acha kupigiwa simu kabisa. Pia wanajua wanawake ni rahisi sana likitokea jambo lolote ambalo hajaridhika au kukorofishana mara nyingi hupiga simu kwa wake wa hawa wanaume ili kuvuruga zaidi. Ndiyo maana hawatumii simu.
WANALIPA CASH BILA RISITI
Kawaida hawatumii credit card kulipia huduma zao kwani kuna bank huonesha matumizi ya pesa yako kwenye bank statement (hasa nchi zilizoendelea). Wanaogopa kwani kwenye account kunaweza kuonesha hotel na sehemu alienda na jinsi alivyotumia pesa.
Pia hawataki risiti kwani anaweza kujisahau akiwa nyumbani risiti ikakutwa kwenye mfuko wa suruali au wallet.
WANABANA MATUMIZI
Kawaida cheater mzuri hakopi pesa kwa ajili ya kustarehe na huyo mwanamke na pia anahakikisha matumizi yana balance na kuwa kama kawaida, hawana mambo ya ku-impress mwanamke kwa kutumia fedha nyingi hadi kukopa kwani wanajua matatizo ya kifedha yakitokea lazima atiliwe mashaka na kushikwa so mambo ya pesa wapo makini sana.
HAWADANGANYI OVYO
Hawana tabia ya kudanganya sana na mara kwa mara, kwani wanajua ipo siku data zitagoma bali wao huelezea uwongo unaofanana sana na ukweli ambao anayeambiwa anadhani ni ukweli kumbe ndani kuna uwongo.
Pia hawezi kueleza kitu hadi aulizwe pia anakuwa na majibu mafupi yasiyo na maelezo mengi ili kuficha data zaidi.
HAWATUMII MARAFIKI
Kawaida hawatumii marafiki au marafiki kuwasaidia kuficha siri zao. Wanajua marafiki kwa kuchemka au kwa makusudi wanaweza kufikisha habari kwa familia. Hujitunzia siri wao wenyewe na yeye tu ndo anajua kila kitu. Hata mwanamke ataambiwa asimwambie mtu na akimwambia mtu urafiki unakufa kwani anajua jinsi watu wengi wanavyojua issue basi uwezekano wa habari kuzunguka ni mkubwa.
WANAENDA MBALI
Kawaida cheaters wa aina hii si kawaida yao kutembea na majirani, marafiki, wasichana wa kazi au wafanyakazi wenzao au mtu yeyote ambaye yupo connected na mke wake, wao huenda mbali kabisa ambako hakuna mtu anawajua. Wanatumia ile principle kwamba ukiona mwizi anaimba jirani ndo kukamatwa kumekaribia, hivyo hawathubutu kuwa na wanawake wa karibu ambao jamii anaishi wanamfahamu.
KUMBUKA
Kuwa mwaminifu katika ndoa yako ndiyo jambo la misingi na muhimu si maisha yako tu bali hata familia, ukoo wako na jamii nzima.
Kumbuka kila mwizi ana siku yake ya arobaini hivyo basi hata kama hujagundulika ni vizuri kuacha hiyo tabia mapema ili uanze kujenga familia bora na yenye mafanikio pasipo wewe mwenyewe kuishi ndani ya guilt
MUHIMU:TAMBUA UTAMU WA MAPENZI NA JINSI YA KUULINDA KATIKA MAHUSIANO.
Kuna sababu za msingi kabisa kuelezea mambo ya kuzingatia ili kutambua vitu vitakavyokufanya ufurahie utamu wa ndoa yako. Kuishi na mke au mume sii kitu rahisi kama ambavyo watu wengi ambao hawako katika ndoa hufikiria. Hivi ni vipengere baadhi tu, wanandoa na wampenzi wanapaswa kuvitambua;
Kwanza kabisa ni kwambie kwamba utamu wa mapenzi sii lazima ufanye tendo la ndoa ama ngono, kuna mambo kibao ambayo moyo wa binadamu ukiyakosa huweza kukonda kama muathirika wa magonjwa hatari ya mwili. #"Upendo kutoka kwa yule umpendae", hili ndilo jambo kubwa la kwanza katika afya ya moyo ulio katika dimbwi la mapenzi.
Hakuna kitu kitamu kama kupendwa na ukapenda pia, kitendo hiki hufunga macho yote ya vishawishi vya dunia hii ya kidigitali. Usilazimishe upendo kwa mtu ambae unaonekana kuwa wewe tu ndiye unaye mjali wakati yeye hana habari na wewe. Ndio maana ukitaka kuingia katika ndoa lazima umtafute mtu unayempenda na anayekupenda ili muishi katika maisha yasiyo ya kushawishika kufuata matamanio mengine nje ya ndoa.
Kitu cha pili katika kufurahia utamu wa penzi ni #"amani" watu wengi wana wanaume na wanawake warembo, lakini hawafurahii mapenzi kwasababu hawana amani ndani ya nyumba. Utafurahia utamu wa mahusiano ya ndoa endapo utakuwa na moyo uliopondeka mbele za Mwenyezi Mungu, yani kuvumiliana katika changamoto za maisha.
Wapo watu wao ni maarufu kwa kuharibu mahusiano ya watu "tofauti na ndugu yako wa karibu" hakuna mtu anayefurahia kukuona unamwanamke mrembo ndani ya nyumba au mwanaume mtanashati ndani ya nyumba, na kwambia hili, jifunze kutunza siri za uzuri wa mkeo au mmeo. Kunawatu wanavitaka vitu hivi sana hata kwa gharama yoyote ile na popote vitakapopatikana vitanakuwa halali yao.
Kama mpenzi wako anakupa penzi tamu na la kistaarabu, basi haina haja ya kumueleza rafiki yako maana hujui yeye anakosa nini katika mahusiano yake na mwenzi wake. Pesa ni silaha kubwa sana katika mapenzi haya ya kizazi cha digitali, pesa zimekuwa na ushawishi mkubwa sana katika mapenzi hivyo unapaswa kuwa msiri katika mambo yako ya chumbani.
Cha msingi zaidi, hakuna mtu anayefurahi kusalitiwa katika mapenzi, kila mtu anatamani kummiriki mwenzi wake asipate wazo la kutoka nje ya mahusiano. Tunajua kabisa dunia hii kila siku tunakutana na wasichana warembo kabisa na pia tunakutana na wanaume watanashati sii kidogo, lakini kitu cha msingi ni kuyashinda macho na kuamini #"UKIONA VYAELEA UJUE............?
Kwanza kabisa ni kwambie kwamba utamu wa mapenzi sii lazima ufanye tendo la ndoa ama ngono, kuna mambo kibao ambayo moyo wa binadamu ukiyakosa huweza kukonda kama muathirika wa magonjwa hatari ya mwili. #"Upendo kutoka kwa yule umpendae", hili ndilo jambo kubwa la kwanza katika afya ya moyo ulio katika dimbwi la mapenzi.
Hakuna kitu kitamu kama kupendwa na ukapenda pia, kitendo hiki hufunga macho yote ya vishawishi vya dunia hii ya kidigitali. Usilazimishe upendo kwa mtu ambae unaonekana kuwa wewe tu ndiye unaye mjali wakati yeye hana habari na wewe. Ndio maana ukitaka kuingia katika ndoa lazima umtafute mtu unayempenda na anayekupenda ili muishi katika maisha yasiyo ya kushawishika kufuata matamanio mengine nje ya ndoa.
Kitu cha pili katika kufurahia utamu wa penzi ni #"amani" watu wengi wana wanaume na wanawake warembo, lakini hawafurahii mapenzi kwasababu hawana amani ndani ya nyumba. Utafurahia utamu wa mahusiano ya ndoa endapo utakuwa na moyo uliopondeka mbele za Mwenyezi Mungu, yani kuvumiliana katika changamoto za maisha.
Wapo watu wao ni maarufu kwa kuharibu mahusiano ya watu "tofauti na ndugu yako wa karibu" hakuna mtu anayefurahia kukuona unamwanamke mrembo ndani ya nyumba au mwanaume mtanashati ndani ya nyumba, na kwambia hili, jifunze kutunza siri za uzuri wa mkeo au mmeo. Kunawatu wanavitaka vitu hivi sana hata kwa gharama yoyote ile na popote vitakapopatikana vitanakuwa halali yao.
Kama mpenzi wako anakupa penzi tamu na la kistaarabu, basi haina haja ya kumueleza rafiki yako maana hujui yeye anakosa nini katika mahusiano yake na mwenzi wake. Pesa ni silaha kubwa sana katika mapenzi haya ya kizazi cha digitali, pesa zimekuwa na ushawishi mkubwa sana katika mapenzi hivyo unapaswa kuwa msiri katika mambo yako ya chumbani.
Cha msingi zaidi, hakuna mtu anayefurahi kusalitiwa katika mapenzi, kila mtu anatamani kummiriki mwenzi wake asipate wazo la kutoka nje ya mahusiano. Tunajua kabisa dunia hii kila siku tunakutana na wasichana warembo kabisa na pia tunakutana na wanaume watanashati sii kidogo, lakini kitu cha msingi ni kuyashinda macho na kuamini #"UKIONA VYAELEA UJUE............?
SOMA HAPA KUJUA YANAYOWEZA KUMFANYA MPENZI WAKO AKATEMBEA NA RAFIKI YAKO!
Ni wiki nyingine tulivu kabisa tunakutana tena kupitia safu hii nikiamini umzima bukheri wa afya na unaendelea vyema na majukumu yako ya kila siku kama kawaida.
Mimi namshukuru Muumba wa mbingu na ardhi kwa kuniwezesha kutimiza majukumu yangu ya kila siku likiwemo hili la kuelimishana na kukumbushana juu ya mambo yanayogusa maisha yetu ya kimapenzi.
Mpenzi msomaji wangu, wiki iliyopita nilikuwa na kazi kubwa ya kumshauri rafiki yangu ambaye aliniletea mashitaka ya mpenzi wake kutembea na rafiki yake.
Nilipata wakati mgumu sana kwani nilipoongea na msichana akaniambia wazi kwamba, amekuwa hapati penzi alilotarajia kutoka kwa rafiki yangu.
Msichana huyo akaenda mbele zaidi na kusema kwamba, yule shemeji yake alionesha kumjali sana kiasi kwamba siku alipomtamkia kwamba anampenda ilimuwia ngumu kukataa.
Kuna kitu cha kujifunza hapa kwamba endapo utaishi na mpenzi wako bila kumdhihirishia kwamba unampenda kwa dhati, akitokea mtu wa pembeni akaonyesha kuwa kafa kaoza, tarajia kusalitiwa kama siyo kuachwa kwenye mataa.
Unapokuwa umeanzisha uhusiano na mtu, utambue ana watu wengi wanaomtaka lakini huenda anawakatalia kwa kuwa yuko na wewe, sasa ukionesha kutomjali, hawezi kuendelea kuwa muaminifu kwako. Atachepuka na hata kama ataendelea kuwa na wewe ni kwa kuwa labda hana ujasiri wa kukuacha.
Ndiyo maana leo nikaona nikupe sababu ambazo zinaweza kumfanya mpenzi wako akatembea na rafiki yako tena wakati mwingine kwa siri bila wewe kujua.
Wewe mwenyewe
Endapo utakuwa umeanzisha uhusiano na mtu, wewe mwenyewe unaweza kutengeneza mazingira ya kusalitiwa. Usipoonesha kumpenda, kumjali, kuthamini penzi lake kisha rafiki yako akayaonesha hayo kwake, ni rahisi sana kukupiku.
Kwa mfano, endapo umekuwa na mpenzi wako lakini hata siku moja hujawahi kumpa zawadi au kumtoa ‘out’, siku shemeji yake (rafiki yako) akiamua kufanya hivyo, mpenzi wako atahisi yeye ni mtu sahihi kwake.
Kujirahisi kwake
Wapo ambao wanatembea na mashemeji zao kwa sababu tu ya kujirahisi kwao. Kwa mfano unapopendelea kuzungumza mambo ya chumbani na rafiki wa mpenzi wako unatarajia nini? Unapomvalia kihasara rafiki wa mpenzi wako lengo linakuwa ni lipi?
Mbaya zaidi ni pale utakapokuwa na mashemeji ambao hawabipiwi. Hapa namaanisha wale ambao wakiona dalili ya kupendwa tu, wanaomba chansi.
Kumuamini sana
Haishauriwi kumuamini sana rafiki yako kwani wengine wakipewa uhuru wa kuwa karibu na mashemeji zao, huchukulia kama fursa ya pekee.
Kwa mfano, unapomuamini rafiki yako kiasi cha kumruhusu aende na mpenzi wako baa, klabu au ufukweni ni kujitafutia matatizo.
Tunajua kwamba wapo marafiki waaminifu lakini tambua tu kwamba wengi wanapokuwa katika mazingira hayo ndipo huishia kusaliti na wakati mwingine bila kupenda.
Kwa nini nasema bila kupenda? Chukulia umemruhusu mpenzi wako aende baa na rafiki yako, wamekunywa pombe hadi wamelewa kisha rafiki yako anamchukuwa mpenzi wako kwenye gari kumrudisha nyumbani.
Wengi kwenye mazingira hayo uzalendo unawashinda. Kwa hiyo kama hutaki yakukute ya kusalitiwa, kama una tabia ya kumruhusu mpenzi wako kwenda baa na shemeji yake, acha mara moja.
Rafiki mnafiki
Unaweza kuwa na rafiki lakini kumbe ni mnafiki. Huyu ni yule ambaye mko pamoja lakini anajiapiza kwamba siku moja lazima atakuchukulia mpenzi wako. Huyu ndiye tunamuita rafiki mnafiki.
Kutokana na tabia hizo ndiyo maana matukio ya baadhi ya wanaume kuwatongoza wapenzi wa marafiki zao yamekuwa yakiongezeka. Pia wanawake wengi sasa hivi hawaoni hatari kuwatongoza marafiki wa wapenzi wao au wapenzi wa mashoga zao.
Penzi la kweli
Mfano Juma ana mpenzi wake aitwaye Asha na Juma ana rafiki yake aitwaye Jamali. Juma na Asha ni wapenzi lakini hawapendani kivile ila Jamali anaonekana kuwa na penzi la kweli na Asha na wakati huohuo Asha naye anahisi kuwa na penzi la kweli na Jamali.
Katika mazingira hayo usije ukashangaa siku moja kusikia Asha katembea na Jamali. Siyo kutokana na tamaa au ushawishi bali ni kutokana na uwepo wa penzi la dhati kati yao.
Katika mazingira haya ndipo ambapo tumekuwa tukisikia fulani kamuacha mkewe kisha yule mke kaolewa na mwanaume ambaye alikuwa rafiki wa wanandoa hao.
Tamaa tu
Endapo utagundua mpenzi wako katembea na rafiki yako, kuna uwezekano ameshawishiwa kwa pesa au mali. Hii ni kwa sababu wapo watu ni dhaifu sana, yaani wao kusaliti wapenzi wao kwa sababu ya pesa, mali au tamaa zao za kimwili siyo kitu kigumu.
Ndiyo maana tunashauriwa kuwa na wapenzi ambao hawana tamaa za kijinga. Katika siku za mwanzo za uhusiano wenu ukigundua uliyenaye si mtu wa kuridhika na penzi unalompa, pesa na mali mlizonazo, mapema muonyeshe mlango wa kutokea kwani itakuwa siyo jambo la ajabu kusikia katembea hata na ndugu au rafiki yako.
Mimi namshukuru Muumba wa mbingu na ardhi kwa kuniwezesha kutimiza majukumu yangu ya kila siku likiwemo hili la kuelimishana na kukumbushana juu ya mambo yanayogusa maisha yetu ya kimapenzi.
Mpenzi msomaji wangu, wiki iliyopita nilikuwa na kazi kubwa ya kumshauri rafiki yangu ambaye aliniletea mashitaka ya mpenzi wake kutembea na rafiki yake.
Nilipata wakati mgumu sana kwani nilipoongea na msichana akaniambia wazi kwamba, amekuwa hapati penzi alilotarajia kutoka kwa rafiki yangu.
Msichana huyo akaenda mbele zaidi na kusema kwamba, yule shemeji yake alionesha kumjali sana kiasi kwamba siku alipomtamkia kwamba anampenda ilimuwia ngumu kukataa.
Kuna kitu cha kujifunza hapa kwamba endapo utaishi na mpenzi wako bila kumdhihirishia kwamba unampenda kwa dhati, akitokea mtu wa pembeni akaonyesha kuwa kafa kaoza, tarajia kusalitiwa kama siyo kuachwa kwenye mataa.
Unapokuwa umeanzisha uhusiano na mtu, utambue ana watu wengi wanaomtaka lakini huenda anawakatalia kwa kuwa yuko na wewe, sasa ukionesha kutomjali, hawezi kuendelea kuwa muaminifu kwako. Atachepuka na hata kama ataendelea kuwa na wewe ni kwa kuwa labda hana ujasiri wa kukuacha.
Ndiyo maana leo nikaona nikupe sababu ambazo zinaweza kumfanya mpenzi wako akatembea na rafiki yako tena wakati mwingine kwa siri bila wewe kujua.
Wewe mwenyewe
Endapo utakuwa umeanzisha uhusiano na mtu, wewe mwenyewe unaweza kutengeneza mazingira ya kusalitiwa. Usipoonesha kumpenda, kumjali, kuthamini penzi lake kisha rafiki yako akayaonesha hayo kwake, ni rahisi sana kukupiku.
Kwa mfano, endapo umekuwa na mpenzi wako lakini hata siku moja hujawahi kumpa zawadi au kumtoa ‘out’, siku shemeji yake (rafiki yako) akiamua kufanya hivyo, mpenzi wako atahisi yeye ni mtu sahihi kwake.
Kujirahisi kwake
Wapo ambao wanatembea na mashemeji zao kwa sababu tu ya kujirahisi kwao. Kwa mfano unapopendelea kuzungumza mambo ya chumbani na rafiki wa mpenzi wako unatarajia nini? Unapomvalia kihasara rafiki wa mpenzi wako lengo linakuwa ni lipi?
Mbaya zaidi ni pale utakapokuwa na mashemeji ambao hawabipiwi. Hapa namaanisha wale ambao wakiona dalili ya kupendwa tu, wanaomba chansi.
Kumuamini sana
Haishauriwi kumuamini sana rafiki yako kwani wengine wakipewa uhuru wa kuwa karibu na mashemeji zao, huchukulia kama fursa ya pekee.
Kwa mfano, unapomuamini rafiki yako kiasi cha kumruhusu aende na mpenzi wako baa, klabu au ufukweni ni kujitafutia matatizo.
Tunajua kwamba wapo marafiki waaminifu lakini tambua tu kwamba wengi wanapokuwa katika mazingira hayo ndipo huishia kusaliti na wakati mwingine bila kupenda.
Kwa nini nasema bila kupenda? Chukulia umemruhusu mpenzi wako aende baa na rafiki yako, wamekunywa pombe hadi wamelewa kisha rafiki yako anamchukuwa mpenzi wako kwenye gari kumrudisha nyumbani.
Wengi kwenye mazingira hayo uzalendo unawashinda. Kwa hiyo kama hutaki yakukute ya kusalitiwa, kama una tabia ya kumruhusu mpenzi wako kwenda baa na shemeji yake, acha mara moja.
Rafiki mnafiki
Unaweza kuwa na rafiki lakini kumbe ni mnafiki. Huyu ni yule ambaye mko pamoja lakini anajiapiza kwamba siku moja lazima atakuchukulia mpenzi wako. Huyu ndiye tunamuita rafiki mnafiki.
Kutokana na tabia hizo ndiyo maana matukio ya baadhi ya wanaume kuwatongoza wapenzi wa marafiki zao yamekuwa yakiongezeka. Pia wanawake wengi sasa hivi hawaoni hatari kuwatongoza marafiki wa wapenzi wao au wapenzi wa mashoga zao.
Penzi la kweli
Mfano Juma ana mpenzi wake aitwaye Asha na Juma ana rafiki yake aitwaye Jamali. Juma na Asha ni wapenzi lakini hawapendani kivile ila Jamali anaonekana kuwa na penzi la kweli na Asha na wakati huohuo Asha naye anahisi kuwa na penzi la kweli na Jamali.
Katika mazingira hayo usije ukashangaa siku moja kusikia Asha katembea na Jamali. Siyo kutokana na tamaa au ushawishi bali ni kutokana na uwepo wa penzi la dhati kati yao.
Katika mazingira haya ndipo ambapo tumekuwa tukisikia fulani kamuacha mkewe kisha yule mke kaolewa na mwanaume ambaye alikuwa rafiki wa wanandoa hao.
Tamaa tu
Endapo utagundua mpenzi wako katembea na rafiki yako, kuna uwezekano ameshawishiwa kwa pesa au mali. Hii ni kwa sababu wapo watu ni dhaifu sana, yaani wao kusaliti wapenzi wao kwa sababu ya pesa, mali au tamaa zao za kimwili siyo kitu kigumu.
Ndiyo maana tunashauriwa kuwa na wapenzi ambao hawana tamaa za kijinga. Katika siku za mwanzo za uhusiano wenu ukigundua uliyenaye si mtu wa kuridhika na penzi unalompa, pesa na mali mlizonazo, mapema muonyeshe mlango wa kutokea kwani itakuwa siyo jambo la ajabu kusikia katembea hata na ndugu au rafiki yako.
TABIA 30 ZA MWANAMKE ANAYEWEZA KUKUFAA KATIKA MAISHA YAKO.
A. Alimpa usingizi mwanaume
B. Alimfanyia upasuaji
C. Damu ilitoka kwa wingi kwa mwanaume
D. Nyama ilitolewa kwa mwanaume
E. Mfupa ulitolewa kwa mwanaume
F. Baada ya kufanyiwa hivyo mwanaume ndipo mwanamke akaumbwa akatoka mwanaume akakiri na kusema huyo ni mfupa katika mfupa wangu na nyama katika nyama yangu –hivyo ataitwa mwanamke napenda ujue kuwa Mwanamke amebeba uponyaji wa mwanaume na mwanaume amebeba vidonda kwa ajili ya mwanamke
Mwanamke ni mfupa mwanaume ni udongo hivyo mwanamke ni:
1. Ni nguvu ya mwanaume
2. Ni jasiri
3. Mchapakazi
4. Mwenye kujiamini
5. Tegemeo la familia
6. Mwalimu wa watoto na familia yake kiujumla
7. Mlinzi wa mwanaum
8. Chanzo cha baraka ya familia
9. Adui wa maadui wa familia
10. Sauti ya familia
11. Mponyaji wa familia yake na taifa
12. Mlezi wa huduma
13. Mkombozi wa familia na taifa
14. Mwombezi wa familia,huduma na taifa
16. Mficha siri wa Mungu
Baada ya kujua umuhimu wa mwanamke tunatakiwa kuangalia kiundani sana tabia 30 za mwanamke bora sio bora mwanamke tumeumia sana baada ya kuowa watu wasio sahihi katika eneo lilosahihi mwanamke bora ni mwamuzi wa familia ndio mleta mabadiliko katika familia mwanamke anayejua kwanini nipo hapa na ninafanya nini?
Mimi nimefanya utafiki kutokana na vitabu na maisha yanayotuzunguka nimeweza kugundua tabia 30 za Mwanamke anayeweza kunifaa mimi na wewe rafiki yangu tuziangalie kwa makini sana na kwa utafiki wa ndani:-
1. Moyo wa Mwanaume humwamini:
Moyo wa M wanaume humwanini Mwanamke bora sio bora Mwanamke, Mwanamke bora hujitahidi sana ili aweze kuaminika kwa mume wake maana Imani ni kitu muhimu sana katika mahusiano, mahusiano yakipoteza Imani hapo hakuna mahusiano, Mwanamke ana uwezo mkubwa sana wa kujiaminisha kwa Mwanaume kuwa yeye ni mtu sahihi na chaguo sahihi kwa Mwanaume wake. Moyo ndio unaothibitisha kuwa huyu ni mtu sahihi au sio sahihi
Moyo ndio unamkubari mtu
Moyo ndio sauti ya mwisho
Moyo ndio chanzo cha upendo
Moyo ndio jibu la maisha yako ya mapendo
Moyo ndio chemichemi ya mapenzi
Moyo ndio unaoamini na kinywa husema yaliyo maamuzi ya moyo.
Huyu Mwanamke anatakiwa awe na jibu kwa Mwanaume- Upendo wa kweli hautambuliki kwa muonekano wa mtu bali upendo huambulika toka moyoni:- Hivyo Mwanamke bora ni Yule anayeweza kuushika moyo wa Mwanaume na kujiaminisha kwake.
2. Huondoa umaskini
Mwanamke bora katika maisha yako ni Yule mwenye mawazo mazuri ya kuondoa umaskini katika maisha yako- hana wazo baya, wengi wao wanatamani kuolewa ili awe na sifa mtaani kuwa ameolewa lakini ni tegemezi, hana wazo jipya la kubadilisha maisha yako. Hawa sio wanawake sahihi mawazo yake yanamtegemea mwanaume, wazo lake ni kuzaa watoto hana wazo la maendeleo, hajui maumivu ya maisha huwa wanarudisha nyuma ndoto zako kutokutimia kwa wakati wake. Mwanamke bora ni Yule mwenye mawazo ya maendeleo, mwenye hasira na umaskini mpenda mafanikio huyo ndiyo anafaa kuolewa
3. Kamwe hamtendei Mume wake mabaya
Mwanamke bora yaani niniamaanisha aliye sahihi ni Yule mwenye moyo safi kwa mume wake,
1. Hawazi mabaya bali mema kwa mume wake,
2. Hawezi kumtendea mume wake mabaya,
3. Hawezi kumuumiza mume wake,
4. Hawezi kumtonesha vidonda mume wake,
5. Hawezi kuumsaliti mume wake,
6. Hawezi kumtendea yasiyo haki mume wake,
7. Hawezi kumchafua mume wake na kumdharirirsha katika jamiii iliyowazunguka,
8. Hawezikumtukana Mume wake,
9. Hawezi kushabikia maumivu na mateso ya Mume wake,
10. Hawezi kuwa radhi na maadui wa Mume wake,
11. Hawezi kuwa jeuri kwa Mume wake,
12. Hawezi kumtendea Mume wake mabaya.
13. Amejaa heshima kwa Mume wake,
14. Adabu,
15. Utu wema anatunza uthamani wa Mume wake
16. Amejaa utiifu na upole kwa Mume wake
17. Amejaa unyenyekevu na uaminifu kwa Mume wake,
18. Amejaa amani na furaha ya kweli kwa Mume wake-
19. Anayeshinda uovu kwa wema,
20. Mwenye upendo wa kweli kwa mume wake. Huyu ndiye Mwanamke unayeweza kumuowa au kuishi naye na ndio sifa ya Mwanamke anayehitajika katika maisha yako. Mwanamke huyu ataheshimika na kuthaminiwa na watu na hatakosa upendo wa dhati kutoka kwa Mume wake.
4. Hufanya kazi kwa mikono yake kwa bidii
Mke bora sio bora Mke ni mchapa kazi ni mtafutaji kwa mikono yake mwenyewe ni mjasiliamali hataki kuwa mzigo wa familia, kwa mikono yake anajenga, kwa mikono yake anasomesha watoto wake, kwa mikono yake anatunza familia yake kwa mikono yake anaheshimisha familia, mfanya kazi kwa bidii asiyechoka usiku na mchana sio mvivu, kwa mikono yake anafanya hategemei fedha za Mume wake- huyu anafaa kuwa Mke sahihi katika maisha sio mlinda mlango ni mtafutaji anakufaa sana katika maisha, napenda kukwambia mapenzi sio kuzaa, mapenzi kama pesa hakuna hutaona udhamani ni wake pesa ni jawabu la kila kitu sasa Mwanamke anajishughulisha anafaa sana katika maisha yetu ya leo- mapenzi ni kusaidiana.
Mwanamke sahihi hi Yule anayefanya kazi kwa mikono yake kwa bidii, Mwanamke ningependa kukushauri kuwa mali za Mwanammme ni mali za watoto na mali ya Mwanaume ni mali ya watu wengi, leo wanawake wengi wanateseka sana baada ya waume zao kufa wamenyang’anywa mali zao na ndugu wa kiume wanateseka sana kwa sababu walikuwa tegemezi kwa waume zao, Mwanamke wa kweli ni Yule mtafutaji na kuwawekea watoto zake mazingira mazuri ya maisha yao ya kesho.
5. Yeye ni kama meli ya biashara.
Mwanamke anafananishwa na meli ya biashara kwa sababu meli ya biashara inachukua bidhaa mbali mbali ndani yake, Mwanamke amebeba majukumu mengi sana katika maisha yake, mwanamke huyu ni:-
a) Mlinzi wa Mume wake.
b) Mzazi, mlezi mwenye watoto.
c) Mwangalizi mkuu wa familia yake na mazingira yake
d) Mwalimu Mkuu wa familia yake
e) Adui wa maadui wa familia yake.
f) Muombaji wa familia yake.
g) Kisima cha amani katika familia na ndugu wanaomzunguka.
h) Chanzo cha Baraka ya familia
i) Mficha siri ya familia- najua unajua kuwa Mwanamke ndio mficha siri wa familia anajua yote yanayofanyika ndani. Mwanamke ana majukumu mengi sana huku mtoto analia, baba naye anamwita huku watoto wanataka kusoma, wakwe wanataka chakula na mavazi huyu anatakiwa kusaidiwa lakini Mwanamke wa namna hii ndiye anayetakiwa katika maisha yako ndiyo maana amefananishwa na meli ya biashara malalamiko amepewa yeye matusi yeye, sifa njema yeye Mwanamke ni gari la familia. Nyumba yenye heshima inamuhitaji Mwanamke sahihi.
6. Huleta chakula chake toka mbali,
Mwanamke bora hategemei kulishwa na Mwanaume anasifa yakutafuta chakula chake toka mbali, hulisha familia yake kwa pesa yake, anahakikisha kuna kila kitu kinachohitajika katika famila yake, tegemeo la Mume wake Mume humwamini, nguzo ya familia yake, huyu ndiye Mwanamke anayetakiwa katika maisha yetu, huyu anafaa ni chaguo lililo sahihi katika maisha yako.
7. Huamka kabla ya mapambazuko.
Mke bora huamka asubuhi na mapema kwa ajili ya kupanga mambo yake ataamka na kufanya usafi ndani, mazingira yake kiujumla huandaa chakula mapema hupangilia kazi kwa waliomo ndani mwake hufanya hivi na wewe fanya hivi sio Mwanamke anayeamka saa tatu (3) asubuhi au saa nne (4) asubuhi huyo ni mvivu hafai kuitwa Mwanamke bora bali ni bora Mwanamke hafai hana faida katika kuchangia maendeleo maana hata maandiko matakatifu yanasema “Siku njema huonekena alfajiri” mafanikio, Baraka, amaendeleo, huanza asubuhi Mwanamke anyefaa utamwona anaamka asubuhi sana na kupangilia mambo yake sawa, watu wa nyumbani watakula muda sahihi, wataenda shule wakiwa wamejaa amani mwenye maneno mazuri juu ya watoto wake na familia yake kwa ujumla. Huyu ndiyo Mwanamke anayetakiwa katika maisha yako, sio wanaoamka muda wanaopenda, Mwanaume anaandaliwa chai na mfanyakazi wa ndani, nguo za mume wako zinanyooshwa na mfanyakazi, maji ya kuoga mume wako yanaandaliwa na mfanyakazi wa ndani wewe sio Mwanamke sahihi na hufai kuitwa Mke bora wewe ni bora mke.
8. Hufikiri kununua shamba kisha hulinunua.
Mwenamke bora katika maisha hana mtazamo wa kununuliwa shamba, gari, nyumba na chochote cha maendeleo yake na familia hufanya mwenyewe akipenda kitu hununua hanunuliwi huyu ndiye Mwanamke wa Biblia mbunifu wa maisha anayetazama mbali sana kwa fedha yake hufanya maendeleo makubwa sana katika maisha yake, huyu ndiye Mwanamke bora anayefaa katika maisha yetu ndiyo Mwanamke anayetafutiwa na watu wenye maendeleo. Anaishi Kwa Jasho Lake, anategemea jasho Lake Hulima, hufanya kazi ili awezekutimiza ndoto zake.
9. Huwa tayari kufanya kazi kwa nguvu
Mwanamke bora huwa tayari kufanyakazi kwa nguvu sana kwa ajili ya familia yake, anajituma kwa bidii kwa kila shughuri anayoifanya, ni mama mwangaikaji, mwenye kiu ya kutimiliza ndoto yake, mwenye kutambua wajibu wake kitaifa na kifamilia, mwenye mtazamo wa mbali, mwenye kiu na maendeleo, mwenye mzigo na familia yake, adui wa umaskini, ujinga na maradhi, mwenye kujituma kabla ya kutumwa. Huyu ndiyo Mwanamke anayetakiwa kuwa nayo katika maisha yake, huyu ndiye mama wa kibiblia sio bora Mke ni Mke bora.
10. Mwenye kuthamini shughuri zake.
Mwanamke bora anathamini sana shughuri zake kuwa zinafaida anaikubali kazi anayoifanya kuwa inafaa, hana tama na kazi za wengine ana heshimu kazi yake sana, hatishwi na maendeleo ya wengine maana naye ni Mwanamke anayejiamini sana kuwa hata yeye atafika, mwenye matumaini na Imani kubwa kwa kile anachofanya. Huyu ndiye Mke anayefaa katika maisha hutasikia malalamiko, hayupo katika mashindano, hana tamaa mbaya ningependa kukushauri kuwa mwanamke anayekufaa sio Mwanamke akiona mwenzake amevaa nguo Fulani naye anataka huyo hakufai ni muharibifu wa maendeleo atakurudisha nyuma kimaendeleo, tafuta Mwanamke huyo hapo juu.
11. Hufanya kazi hata usiku kwa mwanga wa taa yake.
Mwanamke huyu mjasiliamali hata usiku hufanya mambo yake kwa ajili ya maendeleo, hukanda unga wa maandazi, hushona nguo, vitambaa, hupanga mambo yake kabla ya siku mpya, wenye kutambua wakati alionao, huyu ndiye Mwanamke anaye kufaa katika maisha yako na ni Mwanamke wa kibiblia.
12. Asiye mchoyo.
Mwanamke bora sio mchoyo hufungua mikono yake kwa wahitaji, Mwanamke mchoyo hakufai maana ananyima Baraka katika maisha yako, Mwanamke mchoyo ni mchawi wa maendeleo, Mwanamke bora ni mtoaji, mwenye huruma na wahitaji ni mlezi wa wengi, kioo cha fmailia mwenye roho ya msamaha, ni mama wa wote walio wake na wasio wake, kwa aliyembariki na aliyemlaani, hana ubaguzi, mwenye moyo wa mama wa kweli, mwangalizi wa wote. Huyu ndiye mwanamke unaye muhitaji katika familia yako- usifanye makosa huyu ndiyo Mwanamke wa kibiblia.
13. Hana hofu na maisha ya watoto wake.
Mwanamke bora huwa anahakikisha kuwa anawaandalia watoto wake maisha mazuri, anawapeleka shule, msimamizi wa maendeleo yao, mtetezi wa haki zao, anahakikisha watoto wake wanakuwa na nguo, elimu nzuri, afya nzuri, kazi nzuri na anawaandalia maisha mazuri watoto wake hivyo anauhakika na maisha yajayo ya watoto wake. Huyu ndiye Mwanamke anayetakiwa katika maisha yetu.
14. Mwenye kujipenda
Mwanamke bora anajipenda sana, anajidhamini, ni mzuri sana, mwenye kujikubali mwenyewe, adui wa uchafu, hawezi huwezi kumkuta mchafu hata watoto wake wanaoga, anapiga mswaki, anapika mafuta yake mazuri, na anaweka na marashi mwilini ili anukie vizuri sana, anatamanika, mavazi yake mazuri sana, anamvuto aonekanapo wakati wowote nyumbani na nje ya nyumba yake, Ua la familia, huyu ndiye Mwanamke anayetafutwa anamvuto wa kuwanaye karibu, kutembea naye anayethanini usafi wa mwili wake kuanzia chumbani kwake hadi nje huyu ndiye Mw anamke ninayekushauri uwe naye, huyu ndiye Mwanamke wa kibiblia.
15. Mume wake hujulikana malangoni.
Mwanamke bora humtambulisha Mume wake malangoni, Mwanamke ni pazia ya nyumba,
1. Pazia husitiri mambo ya ndani,
2. Pazia hupendezesha nyumba,
3. Pazia mlinzi wa nyumba,
4. Pazia huthaminisha nyumba,
5. Pazia hutambulisha wakaao ndani ya nyumba,
6. Mwanamke ni pazia ya Mume,
7. Ndiye anayempendezesha Mume,
8. Mlinzi wa Mume
9. Ndiye anaye mthaminisha Mume,
10. Andiye anaye mtambulisha Mume,
11. Kioo cha Mume
12. Mwanamke ni pambola Mwanaume, kama nyumba ikikosa pazia ni rahisi maadui kutambua vilivyomo ndani na kuvamia, ikikosa pazia hukaribisha maadui, Mwanamke ni pazia la nyumba ndiyo anayemtambulisha Mwanaume hata kama huyo Mwanaume ni mjinga Mwanmke anauwezo mkubwa wa kumuheshimisha Mwanaume mbele za watu, Mwanamke ndio mlinzi wa Mwanaume. Mwanamke anayejua wajibu wake hawezi kuibiwa Mume hata siku moja
“Sifa ya Mwanaume ni Mwanamke aliye naye”.
16. Mbunifu
Mwanamke bora nimbunifu wa maisha, hayuko nyuma huweza kufanya kitu na hufanya, mbunifu wa biashara, mitindo ya mavazi, hubuni na kuwauzisha wafanyabiashara, ni mtundu wa maendeleo, mwenye wazo jipy huyu ndiye Mwanamke anayehitajika.
17. Mwenye nguvu na kuheshimika
Mwanamke bora ana nguvu za maendeleo mwenye mali inayopatikana katika mikono yake mwenyewe na mwenye kuheshimika jamii inameshimu kwa maendeleo yake, inamthamini, inamuogopa, ni kioo cha wa mama wengine katika jamii inayomzinguka, mke bora anaheshimika na watu, ukiona unadaraulika unatakiwa kubadilika maana Mke mwema ana nguvu katika jamii na anaheshimika huyu huyu ndiye Mwanamke anayetakiwa katika maisha ya leo.
18. Hucheka afikiriapo wakati ujao (Future)
Mwanamke bora hana hofu na wakati ujao maana amekweisha udhibiti wakati ujao, Mwamnamke bora hutawala kesho hata kama hajaingia, hutawala jioni wakati ni asubuhi hivyo hana hofu na mambo ya kesho, Mwanamke bora anaucheka umaskini, magonjwa na ujinga huandaa mambo yake kwa wakati aliopo na kwa wakati ujao, huyu ndio Mwanamke anayetakiwa asiyekuwa na wasiwasi na kesho.
19. Hufungua kinywa Kunena kwa hekima.
Mwanamke bora amejaa hekima kinyuani SOPHIA - hekima ni kiongozi mzuri sana katika maisha, ni mlinzi, hekima ni mtawala, hekima ni utajiri, hekima ni heshima,
1. Mwanamke mwenye hekima hashindwi kuuitawala nyumba yake.
2. Mwanamke mwenye hekima hatishwi na watu na maneno yao.
3. Mwanamke mwenye hekima ni malkia wa nyumba yake,
4. Mwanamke mwenye hekima ni mkombozi wa familia yake.
5. Mwanamke mwenye hekima ni muamuzi wa haki katika familia yake,
6. Mwanamke mwenye hekima ni mdhibiti wa maovu katika famila yake.
7. Mwanamke mwenye hekima ni mponyaji wa famila,
8. Mwanamke mwenye hekima huondoa hasira kwa Mume wake.
9. Mwanamke mwenye hekima ni wa kujivunia,
10. Mwanamke mwenye hekima ni mponyaji wa ndoa yake/ huyu ndiyeMwanamke anaye tafutwa katika maisha yetu rafiki wa wote huyu ndiye Mwanamke anayehitajika katika maisha.
20. Huwashauri wengi kwa wema.
Mwanamke bora ni mshauri mzuri kwa wengine, mwenye kushauri mema wala sio mabaya kwa watu waliomzunguka yaani ni mponyaji wa familia za watu wengi hata taifa, ushauri wake hauna madhara kwa watu, kimbilio la wengi, sio mwenye mwenye kuharibu ndoa za watu, mchonganishi, mshirikina, muongo hapana, Mwanamke anatakiwa kutoa ushauri mzuri kwa wengi huyu ndiye Mwanamke tunayemuhitaji wengi.
21. Huchunguza yote yanayofanyika nyumbani mwake.
Mwanamke bora anakuwa makini sana na kila kitu kinachoendelea au kutendeka katika nyumba yake anakuwa mwangalifu sana mna mambo ya nyumbani kwake kwa sababu yeye ndiye msimamizi mkuu wa nyumba yke, anatakiwa awe na muda wa kutosha na nyumba yake, hapendi ujinga nyumbani mwake, mahali pa kuonya anaonya, mahali pa kufundisha nafundisha, yeye ndiye mratibu mkuu wa yote yanayotendeka nyumbani, yeye ndiye kiongozi wa nyumba yake, mtendaji mkuu wa nyumba yake ndiye mjenzi wa familia bora hivyo Mwanamke kama huyu anyejua mjukumu yake ndiye anayetakiwa katika maisha yetu, sio kila Mwanamke umuonaye anafaa.
22. Kamwe hakai bure hata kidogo
Mke bora hakai bure lazima atakuwa na kitu cha kufanya, huwezi kumkuta kwenye vikao vya umbea, anazunguka zunguka kwenye nyumba za watu, maana ana mambo ya kufanya hakai bure hata kidogo ni mchapa kazi, anajituma, mbunifu wa mambo, anautaratibu wa maisha yake. Mwanamke ambaye yupo yupo tu huyo hatufai,ni chanzo cha matatizo, umbea, muongo, tafuta Mwanamke anayechapa kazi yuko (busy) na shughuri za kifamilia, kiofisi mwenye maendeleo huyo ndiye Mwanamke anayefaa katika maisha.
23. Watoto wake huamka na kumshukuru.
Mke bora watoto wake wanafuraha naye, wanamshukuru sana mama yao, maana amewajengea maisha mazuri amewafundisha mambo mazuri, amewalea vizuri, watamuheshimu sana mama yao na kumpenda, watamlinda na kumtunza mama , mama wa kweli husifiwa na watoto wake, watoto wanajisikia amani wanapokuwa naye, mwenye maadili mema mbele ya watoto wake,. Mfano wa kuigwa kwa mambo mazuri anayowatendea watoto wake hivyo shukurani hazitaweza kundoka midomoni mwa watoto wake huyo ndiye Mwanamke anayetakiwa.
24.Mume huimba sifa zake
Mke bora Mume wake humsifia kwa sifa njema Mume hutangaza uzuri wa Mke wake, hutangaza mtendo mazuri ya Mke wake, hujivunia na anajisikia bahati kuwa na mke kama huyo, mwenye tabia njema, mtiifu, mpole katika maisha yake mwenye kujiheshimu, anyempenda mume wake na watoto zake, msema kweli, mlinzi mwaminifu, Mwanamke mwenye maendeleo huyu ndiye Mwanamke anayetakiwa katika maisha yetu aliyekubarika katika moyo wa Mume wake mpenzi.
24. Mwenye kumcha Mungu
Mke bora ni Yule mcha mungu anayempenda Mungu mtu wa Ibada mwenye hofu ya Mungu anayeichukia dhambi, mpenda maombi na Neno la Mungu huyu ndiye Mke sahihi katika maisha, mwenye mzigo wa maombi kwa ajili ya Mume wake na watoto wake na wote waliomzunguka huyo ndiye chemichemi ya mabadiliko ya familia, mleta ukombozi wa fmailia huyu ndiye Mwanamke anayefaa katika maisha yetu ya leo.
25. Mwenye kupenda elimu.
Mke bora ni Yule anyependa Elimu. Elimu imegawanyika katika sehemu mbili. Kuna Elimu inayopatikani mashuleni na Elimu inaopatikana katika mazingira unayoishi, wazazi na jamii iliyokuzunguka Mke bora anapenda kujifunza mazuri kwa wengine, mafanikio yao, sio mjuaji, yupo tayari kurekebishwa na kubadilika, anayekubari kushauriwa huyo ndiye Mwanamke anayefaa maana ni msikivu na mpenda mabadiliko yenye faida
26. Huandaa chakula kwa familia yake.
Mke bora ni mpishi mzuri wa chakula katika familia yake hategemei wafanyakazi yeye ni Mwalimu wa wengine mume humsifia Mkwa kwa mapishi yake mazuri nay a usafi wa hali ya juu sana . mpendwa najua unajua kuwa kuna baadhi ya wake za watu hawajui kupika, sio mbunifu wa mapishi mchafu katika maandalizi yake huwa ni wake wasio bora, wanavunja nyumba zao, tafuta Mke ambaye hana chakula cha kukariri bali bali ni mbunifu wa mapishi ni msafi anayejipenda mwalimu wa mapishi huyo ndiye Mwanamke anayetakiwa katika maisha yetu ya leo.
27. Mwenye sifa njema.
Mke mwema anasifa njema katika jamii iliyomzunguka hana tabia za uzinzi na uasherati, hana tabia ya ulevi na matusi, hana tabia ya umbea na uchonganishaji, hana tabia ya kiburi na jeuri Mke mwema ni rafiki wa watu wengi amejaa shukrani na hana mawazo mabaya Mke bora hutambulika na matendo yake katikajamii inayomzunguka.
28. Mwenye kudhamini na kutunza upendo.
Mke bora anajua maana ya upendo na gharama zake, anajua maumivu na vidonda vya mapenzi, anajua nguvu ya upendondani ya mtu, anatambua hisia kali ya upendo, Mwanamke wa namna hiyo hataweza kukusaliti, atakuheshimu na kukupenda kweli kutoka moyoni mwake hatagawa upendo wakko kwa wengine, atalinda penzi lake kwa ajili yako, anaheshimu mwili wake huyu ndiye Mwanamke anayetafutwa anayejua kwanini umempenda yeye na umewaacha wengine mwenye tabia njema. Huyu ndiye Mama wa familia bora sio bora familia.
29. Mwenye wivu wa maendeleo
Mke bora ana wivu wa maendeleo hana wivu wa kijinga unaoweza kusababisha amani katika ndoa kuondoka .Mwanamke ni mponyaji wa ndoa yake ni kweli Mwanamke anatakiwa awe na wivu kwa Mume wake lakini vilevile lazima awe na Imani na Mume wake, kuna wivu unaoweza kuharibu amani ya nyumba lakini kuna wivu unaoweza kujenga nyumba. Inategemea Mama ana wivu wa namna gani sio wote walio karibu na Mume wako, wako katika mahusiano na Mume wako, Mwanamke bora hufanya utafiti wa jambo na kuwa na uhakika naolo na huliwasilisha kwa hekima sana. Wivu ni mzuri ukitumiwa vizuri na pendo la kweli lina wivu lakini uwe wa maendeleo katika maisha yenu.
Kumpata Mwanamke bora sio kitu rahisi lakini kupitia mafundisho ya vitabu vya Mungu, vitafungua ufahamu wako mkubwa na kumtafuta Mke sahihi kimungu.
Subscribe to:
Posts (Atom)



